Posts

Showing posts from April, 2023

MASAA MATATU ya hukumu

   MASAA MATATU ZA HUKUMU    (Three hours for Judgement)                    Safari Ya Kifo                  Joakim Chawe              +255 754 465 961 Hiki ni kisa kinachofahamika na waliowengi na ni moja kati ya visa vinavyotokea ulimwemguni Ila no mgumu sana kumsimulia mtu mpaka akakuelewa. Inahitaji nguvu kubwa ya kiimani ama ya kufananisha kisa hiki na ushirikina.  Nina imani kwamba kisa hiki kitakuwa na ujumbe mkubwa kwa wasomaji wengi. Ni kisa kinacho muhusu kijana mmoja aliejulikana kwa jina la Emmanuel ambae alikuwa na umri wa miaka ipatayo 25 na kwa kijana huyu  ambae alikuwa na umri wa kuoa na alikuwa chini ya imani ya kikristo, Twende sambamba tufuatilie kisa mpaka mwisho wa kisa hiki.     MASAA MATATU YA HUKUMU ¶ Imefikia kipindi Cha Mimi kuwa na mwenza, nifanye nini ili nimpate mwenza sahihi katika maisha y...

MASAA MATATU ya HUKUMU by Joakim work production

   MASAA MATATU ZA HUKUMU    (Three hours for Judgement)                    Safari Ya Kifo                  Joakim Chawe              +255 754 465 961 Hiki ni kisa kinachofahamika na waliowengi na ni moja kati ya visa vinavyotokea ulimwemguni Ila no mgumu sana kumsimulia mtu mpaka akakuelewa. Inahitaji nguvu kubwa ya kiimani ama ya kufananisha kisa hiki na ushirikina.  Nina imani kwamba kisa hiki kitakuwa na ujumbe mkubwa kwa wasomaji wengi. Ni kisa kinacho muhusu kijana mmoja aliejulikana kwa jina la Emmanuel ambae alikuwa na umri wa miaka ipatayo 25 na kwa kijana huyu  ambae alikuwa na umri wa kuoa na alikuwa chini ya imani ya kikristo, Twende sambamba tufuatilie kisa mpaka mwisho wa kisa hiki.     MASAA MATATU YA HUKUMU ¶ Imefikia kipindi Cha Mimi kuwa na mwenza, nifanye nini ili nimpate mwenza sahihi katika maisha y...

WATUMIAJI WA VODACOM

  JE, KIFURUSHI CHAKO CHA INTERNET KINAWAHI KUISHA? Je,  unajua tupo kizazi Cha tano Cha Kompyuta ambapo teknolojia ya kuperuzi imeongezwa zaidi ya Mara 20 kutoka kizazi Cha nne Cha Kompyuta (4G). Usilolijua kuhusu kizazi  Cha tano Cha Kompyuta (5G) 1.  5G Ni kizazi cha tano Cha Kompyuta kilichoongezewa kasi ya internet Mara 20 zaidi ya kasi ya kizazi cha nne yaani 4G. 2. 5G Ina uwezo wa kutmia mb 100 kwa sekunde pale unapopakua au kupakia taarifa au kitu chochote mtandaoni. 3. 5G Ina uwezo wa kumruhusu mtumiaji wa internet kufanya Mambo mengi mtandaoni kwa wakati mmoja. MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUDHIBITI MATUMIZI YAKO YA DATA MTANDAONI. 1.  Hakikisha unaruhusu matumizi ya data pale unapokuwa na shida na kitu fulani mtandaoni. 2. Kuwa makini na vyanzo  (sources) za internet unapokuwa mtandaoni. 3. Usipakue application usioijua matumizi yake. 4. Zuia matangazo kwa kubonyeza alama ya X ukiwa mtandaoni. 5. Punguza baadhi ya sub...